OR-KSUUB, Tanzania
Nafasi za Kazi 6 Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar
About the role
The total number of job posts listed here for the President's Office - Constitution, Legal Affairs, Public Service and Good Governance (Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar) is 6 posts in August 2026. This electronic HR and payroll software management system recruitment targets network administration, system analysis, and full-stack software development for public service operations in Unguja. Job Title / SpecializationPostsMsanifu wa Mfumo wa mbele (Frontend Developer) Daraja la II – Unguja2Msanifu wa Mfumo wa Ndani (Backend Developer) Daraja la II – Unguja2Msimamizi wa Mifumo ya Mtandao (Network Administrator) Daraja la II – Unguja1Mchambuzi wa Mifumo (System Analyst) Daraja la II – Unguja1TOTAL POSTS6 OFISI YA RAIS - KATIBA SHERIA UTUMISHI NA UTAWALA BORA Vacancies: 6 | Latest closing: Aug 16, 2026 Apply Msimamizi wa Mifumo ya Mtandao ( Network Administrator) Daraja la II-UNGUJA Posts: 1 | Closing: Aug 16, 2026 Apply | Period: 03/08/2026 - 16/08/2026 | Scale: ZPSG - 08 Duties and Responsibilities Kutunza taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki (Human Resource Payroll Management Information System); Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Watumiaji wa Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma katika Taasisi za umma; Kufanya tathmini na kutoa taarifa za kiufundi katika Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi (Database;) Kuweka na kuimarisha usalama katika mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma; Kuhakikisha kuwa Mfumo wa kuhifadhia taarifa za Watumishi wa Umma unafanyiwa tathmini; Kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha Mfumo wa Uwekaji wa Taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki; Kufanya kazi nyengine zinazolingana na lengo la kuanzishwa kwa mfumo ili uendane na mabadiliko ya Teknolojia yanayotokea ulimwenguni. Qualifications Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45 Awe amehitimu shahada ya kwanza fani ya Computer Science au fani yoyote inayolingana na kazi. Awe na ujuzi na uzoefu wa Mifumo ya Kielektroniki. Apply for this position Msanifu wa Mfumo wa mbele ( Frontend Developer) Daraja la II-UNGUJA Posts: 2 | Closing: Aug 16, 2026 Apply | Period: 03/08/2026 - 16/08/2026 | Scale: ZPSG - 08 Duties and Responsibilities Kutunza taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki (Human Resource Payroll Management Information System); Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Watumiaji wa Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma katika Taasisi za umma; Kufanya tathmini na kutoa taarifa za kiufundi katika Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi (Database;) Kuweka na kuimarisha usalama katika mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma; Kuhakikisha kuwa Mfumo wa kuhifadhia taarifa za Watumishi wa Umma unafanyiwa tathmini; Kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha Mfumo wa Uwekaji wa Taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki; Kufanya kazi nyengine zinazolingana na lengo la kuanzishwa kwa mfumo ili uendane na mabadiliko ya Teknolojia yanayotokea ulimwenguni. Qualifications Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45 Awe amehitimu shahada ya kwanza fani ya Computer Science au fani yoyote inayolingana na kazi. Awe na ujuzi na uzoefu wa Mifumo ya Kielektroniki. Apply for this position Msanifu wa Mfumo wa Ndani ( Backend Developer) Daraja la II-UNGUJA Posts: 2 | Closing: Aug 16, 2026 Apply | Period: 03/08/2026 - 16/08/2026 | Scale: ZPSG - 08 Duties and Responsibilities Kutunza taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki (Human Resource Payroll Management Information System); Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Watumiaji wa Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma katika Taasisi za umma; Kufanya tathmini na kutoa taarifa za kiufundi katika Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi (Database;) Kuweka na kuimarisha usalama katika mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma; Kuhakikisha kuwa Mfumo wa kuhifadhia taarifa za Watumishi wa Umma unafanyiwa tathmini; Kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha Mfumo wa Uwekaji wa Taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki; Kufanya kazi nyengine zinazolingana na lengo la kuanzishwa kwa mfumo ili uendane na mabadiliko ya Teknolojia yanayotokea ulimwenguni. Qualifications Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45 Awe amehitimu shahada ya kwanza fani ya Computer Science au fani yoyote inayolingana na kazi. Awe na ujuzi na uzoefu wa Mifumo ya Kielektroniki. Apply for this position Mchambuzi wa Mifumo ( System Analyst) Daraja la II-UNGUJA Posts: 1 | Closing: Aug 16, 2026 Apply | Period: 03/08/2026 - 16/08/2026 | Scale: ZPSG - 08 Duties and Responsibilities Kutunza taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki (Human Resource Payroll Management Information System); Kutoa msaada wa kitaalamu kwa Watumiaji wa Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma katika Taasisi za umma; Kufanya tathmini na kutoa taarifa za kiufundi katika Mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi (Database;) Kuweka na kuimarisha usalama katika mfumo wa uwekaji wa taarifa za watumishi wa umma; Kuhakikisha kuwa Mfumo wa kuhifadhia taarifa za Watumishi wa Umma unafanyiwa tathmini; Kushauri namna bora zaidi ya kuimarisha Mfumo wa Uwekaji wa Taarifa za Watumishi wa Umma katika Mfumo wa Kielektroniki; Kufanya kazi nyengine zinazolingana na lengo la kuanzishwa kwa mfumo ili uendane na mabadiliko ya Teknolojia yanayotokea ulimwenguni. Qualifications Awe ni Mzanzibar mwenye umri usiozidi miaka 45 Awe amehitimu shahada ya kwanza fani ya Computer Science au fani yoyote inayolingana na kazi. Awe na ujuzi na uzoefu wa Mifumo ya Kielektroniki. Apply for this position